Tuesday, March 16, 2010
Tawi la Yanga Dodoma
Tafadhari naomba nifahamishwe eneo lililopo tawi la Yanga hapa Dodoma kwani nahitaji kulipia kadi yangu ya uanachama kabla ya uchaguzi.Yeyote mwenye taarifa ya ofisi hiyo anipe maelekezo.
Subscribe to:
Posts (Atom)